Frames za maduka zinauzwa

Frames za maduka zinauzwa


Contact Seller
Report this advert

Description

Ninauza Frames za maduka, ziko Muriet karibu na shule ya Terati. Frames nne na korido kubwa ya kutosha chumba kingine, choo na bafu, na eneo la kujenga rooms nyuma.

Bei milioni 22 Tsh.

Kwa mawasiliano 0683695748

Image Gallery

No images.

Map Location