NAFASI YA MFANYAKAZI KAZI NYUMBANI-NJIRO ARUSHA

NAFASI YA MFANYAKAZI KAZI NYUMBANI-NJIRO ARUSHA


Contact Seller
Report this advert

Description

Nafasi ya mfanyakazi wa Nyumbani-Njiro Arusha

 

Maelezo maalumu:

Ø  Tunahitaji anayeweza kuishia na familia

Ø  Ni lazima awe mcha Mungu

Ø  Mshahara: 100,000.00-150,000.00

Ø  Mapumziko: Mara moja kwa wiki

 

Majukumu ya Msingi:

Mtumishi wa  ndani atahusika na majukumu ya msingi ya nyumbani kuanzia Usafi wa ndani na njee ya nyumba, Kupika Chakula kufua nguo mara chache, kujali watoto wenye umri wa miaka 8 na kuendelea na muhimu zaidi kuwa sehemu ya familia.

Majukumu Ya Msingi:

v  Kufanya Usafi ndani ya nyumba na katika eneo la nee ya nyumba

v  Kujitoa kwa moyo katika kulea watoto na familia kwa ujumla wakiwa nyumbani.

v  Kuosha vyombo na sehemu inayopaswa kuhifadhia vyombo

v  Kuwaelekeza watoto shughuli za nyumbani

v  Kuhakikisha taa zinawashwa na kuzimwa kwa wakati

v  Kuweka mpangilio sahihi wa nyumba

v  Kutunza bustani za maua na bustani

v  Kufua nguo za watoto

v  Kufanya maukumu memngine ya nyumbani utakayopangiwa

Kinachohitajika:

  • Usafi wa binafsi na wa maeneo ya nyumbani ni muhimu
  • Uwezo na Uzoefu wa kufanya kazi za nyumbani miaka mitatu
  • Uwezo wa kufanya Kusimamia shughuli za nyumbani
  • Muhimu uwe mcha Mungu
  • Ustaarabu na heshima ya eneo la kazi ni muhimu
  • Ujuzi wa Kupika Vyakula vya kawaida vya kiafrika

 

 

Elimu na Ujuzi:

  • Elimu ya Sekondari/Darasa la saba na mafunzo ya ulezi kwa ngazi ya cheti
  • Ujuzi wa kutumia mashine za kufua na majiko ya umeme

 

Jinsi ya Kuomba kazi hii:

Tuma maombi yako kupitia anuani hii ya barua pepe: application@expertconsultancy.co.tz . Au piga simu kwa Ismael kupitia namba 0759261468.

 

Image Gallery

No images.

Map Location